Mwanzo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha. Hesabu 13:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Waamaleki+ wanakaa katika nchi ya Negebu,+ na Wahiti na Wayebusi+ na Waamori+ wanakaa katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanakaa kando ya bahari na kando ya ukingo wa Yordani.”
19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha.
29 Waamaleki+ wanakaa katika nchi ya Negebu,+ na Wahiti na Wayebusi+ na Waamori+ wanakaa katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanakaa kando ya bahari na kando ya ukingo wa Yordani.”