Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na yeyote ambaye hangekuja+ katika muda wa siku tatu kulingana na shauri la wakuu+ na wanaume wazee—mali zake zote zingepigwa marufuku+ na yeye mwenyewe angetengwa+ kutoka kwenye kutaniko la waliohamishwa.

  • Ezra 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi, tafadhali, wakuu+ wetu na waliwakilishe kutaniko zima; na wale wote walio katika majiji yetu ambao wamewapa makao wake wa kigeni, na waje kwa nyakati zilizowekwa, pamoja na wanaume wazee wa kila jiji moja moja na waamuzi wake, mpaka tuwe tumegeuza kutoka kwetu hasira inayowaka ya Mungu wetu, kwa sababu ya jambo hili.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki