Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na mfalme akaendelea kuwaambia watumishi wake: “Je, hamjui kwamba ni mkuu na ni mtu mkubwa ambaye ameanguka katika Israeli leo?+

  • Ezra 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na mara mambo hayo yalipokwisha, wakuu+ wakanikaribia, wakisema: “Watu wa Israeli na makuhani na Walawi hawajajitenga+ na watu wa nchi kuhusiana na machukizo yao,+ yaani, Wakanaani,+ Wahiti,+ Waperizi,+ Wayebusi,+ Waamoni,+ Wamoabu,+ Wamisri+ na Waamori.+

  • Ezra 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na yeyote ambaye hangekuja+ katika muda wa siku tatu kulingana na shauri la wakuu+ na wanaume wazee—mali zake zote zingepigwa marufuku+ na yeye mwenyewe angetengwa+ kutoka kwenye kutaniko la waliohamishwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki