9 Na mara mambo hayo yalipokwisha, wakuu+ wakanikaribia, wakisema: “Watu wa Israeli na makuhani na Walawi hawajajitenga+ na watu wa nchi kuhusiana na machukizo yao,+ yaani, Wakanaani,+ Wahiti,+ Waperizi,+ Wayebusi,+ Waamoni,+ Wamoabu,+ Wamisri+ na Waamori.+