Ezra 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na wakuu na wanaume wazee wakaamua kwamba yeyote ambaye hangekuja katika muda wa siku tatu, mali zake zote zingechukuliwa,* naye angefukuzwa kutoka kwenye kutaniko la watu waliotoka uhamishoni.+
8 na wakuu na wanaume wazee wakaamua kwamba yeyote ambaye hangekuja katika muda wa siku tatu, mali zake zote zingechukuliwa,* naye angefukuzwa kutoka kwenye kutaniko la watu waliotoka uhamishoni.+