Ezra 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na yeyote ambaye hangekuja+ katika muda wa siku tatu kulingana na shauri la wakuu+ na wanaume wazee—mali zake zote zingepigwa marufuku+ na yeye mwenyewe angetengwa+ kutoka kwenye kutaniko la waliohamishwa.
8 na yeyote ambaye hangekuja+ katika muda wa siku tatu kulingana na shauri la wakuu+ na wanaume wazee—mali zake zote zingepigwa marufuku+ na yeye mwenyewe angetengwa+ kutoka kwenye kutaniko la waliohamishwa.