- 
	                        
            
            1 Samweli 11:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        7 Kwa hiyo akachukua ng’ombe-dume wawili, akawakata vipande-vipande, akavipeleka katika eneo lote la Israeli+ kwa mkono wa wajumbe, akisema: “Yeyote kati yetu ambaye hatatoka akiwa mfuasi wa Sauli na Samweli, ng’ombe zake watafanywa hivi!”+ Na hofu+ ya Yehova+ ikaanza kuwashika watu hivi kwamba wakatoka kama mtu mmoja.+ 
 
-