1 Samweli 14:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Na jina la mke wa Sauli lilikuwa Ahinoamu binti ya Ahimaazi, na jina la mkuu wa jeshi lake lilikuwa Abneri+ mwana wa Neri, ndugu ya baba ya Sauli. 2 Samweli 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+ 2 Samweli 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Papo hapo Abneri akatuma wajumbe kwa Daudi, akisema: “Je, nchi hii ni ya nani?” na kuongezea: “Fanya agano lako pamoja nami, na tazama! mkono wangu utakuwa pamoja nawe ili kuwageuza Israeli wote wawe upande wako.”+
50 Na jina la mke wa Sauli lilikuwa Ahinoamu binti ya Ahimaazi, na jina la mkuu wa jeshi lake lilikuwa Abneri+ mwana wa Neri, ndugu ya baba ya Sauli.
8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+
12 Papo hapo Abneri akatuma wajumbe kwa Daudi, akisema: “Je, nchi hii ni ya nani?” na kuongezea: “Fanya agano lako pamoja nami, na tazama! mkono wangu utakuwa pamoja nawe ili kuwageuza Israeli wote wawe upande wako.”+