3 Basi wanaume wote wazee+ wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni, na Mfalme Daudi akafanya agano+ nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli.+
3 Basi wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni na Daudi akafanya agano nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli, kulingana na neno+ la Yehova kupitia kwa Samweli.+
22 Na baada ya kumwondoa huyo,+ akawainulia Daudi kuwa mfalme,+ ambaye alitoa ushahidi kumhusu na kusema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayekubalika kwa moyo wangu,+ atakayefanya mambo yote ambayo ninatamani.’+