2 Samweli 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Papo hapo Abneri akawatuma wajumbe kwa Daudi, akisema: “Nchi hii ni ya nani?” Akaongezea: “Fanya agano pamoja nami, nami nitafanya lolote niwezalo* kuwageuza Waisraeli wote wawe upande wako.”+
12 Papo hapo Abneri akawatuma wajumbe kwa Daudi, akisema: “Nchi hii ni ya nani?” Akaongezea: “Fanya agano pamoja nami, nami nitafanya lolote niwezalo* kuwageuza Waisraeli wote wawe upande wako.”+