3 Wakanaani+ upande wa mashariki na magharibi, na Waamori+ na Wahiti+ na Waperizi+ na Wayebusi+ katika eneo lenye milima na Wahivi,+ pale chini ya Hermoni+ katika nchi ya Mispa.+
15 Ndipo Yoshua akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watu wengi sana, nendeni msituni, mjikatie huko katika nchi ya Waperizi+ na Warefaimu,+ kwa sababu eneo lenye milima+ la Efraimu limekuwa jembamba mno kwenu.”