Mwanzo 19:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii. Kumbukumbu la Torati 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Mwamoni au Mmoabu yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wao asiingie katika kutaniko la Yehova mpaka wakati usio na kipimo,
38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii.
3 “Mwamoni au Mmoabu yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wao asiingie katika kutaniko la Yehova mpaka wakati usio na kipimo,