14 Basi, tafadhali, acha wakuu wetu waliwakilishe kutaniko lote;+ na watu wote katika majiji yetu ambao wameoa wanawake wa kigeni waje wakati uliowekwa, pamoja na wazee na waamuzi wa kila jiji, mpaka tutakapoituliza hasira inayowaka ya Mungu wetu kuhusiana na jambo hili.”