Isaya 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mimi sina ghadhabu.+ Ni nani atakayenipa vichaka vya miiba+ na magugu katika pigano? Nitavikanyaga hivyo. Nitaviwasha moto kwa wakati mmoja.+ Mathayo 13:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa hiyo, kama vile magugu hukusanywa na kuteketezwa kwa moto, ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.+ Yohana 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ikiwa yeyote hakai katika muungano pamoja nami, huyo hutupwa nje kama tawi na hukauka; na watu hukusanya matawi hayo na kuyatupa ndani ya moto nayo yanateketezwa.+ Waebrania 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ukizaa miiba na mibaruti, hukataliwa na huwa karibu kulaaniwa;+ nao mwisho wake huchomwa.+
4 Mimi sina ghadhabu.+ Ni nani atakayenipa vichaka vya miiba+ na magugu katika pigano? Nitavikanyaga hivyo. Nitaviwasha moto kwa wakati mmoja.+
40 Kwa hiyo, kama vile magugu hukusanywa na kuteketezwa kwa moto, ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.+
6 Ikiwa yeyote hakai katika muungano pamoja nami, huyo hutupwa nje kama tawi na hukauka; na watu hukusanya matawi hayo na kuyatupa ndani ya moto nayo yanateketezwa.+