Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mimi sina ghadhabu.+ Ni nani atakayenipa vichaka vya miiba+ na magugu katika pigano? Nitavikanyaga hivyo. Nitaviwasha moto kwa wakati mmoja.+

  • Mathayo 13:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa hiyo, kama vile magugu hukusanywa na kuteketezwa kwa moto, ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.+

  • Yohana 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ikiwa yeyote hakai katika muungano pamoja nami, huyo hutupwa nje kama tawi na hukauka; na watu hukusanya matawi hayo na kuyatupa ndani ya moto nayo yanateketezwa.+

  • Waebrania 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ukizaa miiba na mibaruti, hukataliwa na huwa karibu kulaaniwa;+ nao mwisho wake huchomwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki