2 Samweli 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini watu wasiofaa kitu+ hufukuziwa mbali,+ wote, kama miti ya miiba;+Kwa maana haipaswi kuchukuliwa kwa mkono. Isaya 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Nuru+ ya Israeli atakuwa moto,+ na Mtakatifu wake mwali wa moto;+ nao utawaka na kuteketeza magugu yake na vichaka vyake vya miiba+ katika siku moja. Waebrania 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ukizaa miiba na mibaruti, hukataliwa na huwa karibu kulaaniwa;+ nao mwisho wake huchomwa.+
6 Lakini watu wasiofaa kitu+ hufukuziwa mbali,+ wote, kama miti ya miiba;+Kwa maana haipaswi kuchukuliwa kwa mkono.
17 Na Nuru+ ya Israeli atakuwa moto,+ na Mtakatifu wake mwali wa moto;+ nao utawaka na kuteketeza magugu yake na vichaka vyake vya miiba+ katika siku moja.