Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi palikuwa na mtu asiyefaa kitu,+ ambaye jina lake lilikuwa Sheba,+ mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga baragumu+ na kusema: “Hatuna fungu lolote katika Daudi, nasi hatuna urithi wowote katika mwana wa Yese.+ Kila mmoja na aende kwa miungu yake,+ Ee Israeli!”

  • 2 Samweli 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana mashuu yanayosababisha kifo yalinizunguka;+

      Kulikuwa na mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu yaliyoendelea kuniogopesha.+

  • Zaburi 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kamba za kifo zilinizunguka;+

      Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki