Luka 6:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Kwa maana kila mti hujulikana kwa matunda yake.+ Kwa mfano, watu hawakusanyi tini kutoka katika miiba, wala hawakati zabibu kutoka katika mti wa miiba.+
44 Kwa maana kila mti hujulikana kwa matunda yake.+ Kwa mfano, watu hawakusanyi tini kutoka katika miiba, wala hawakati zabibu kutoka katika mti wa miiba.+