Mwanzo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mungu akaendelea kusema: “Dunia na itoe majani, mimea inayozaa mbegu,+ miti ya matunda inayozaa matunda kulingana na aina zake,+ ambayo mbegu yake imo ndani yake,+ juu ya nchi.” Ikawa hivyo.
11 Mungu akaendelea kusema: “Dunia na itoe majani, mimea inayozaa mbegu,+ miti ya matunda inayozaa matunda kulingana na aina zake,+ ambayo mbegu yake imo ndani yake,+ juu ya nchi.” Ikawa hivyo.