29 Mungu akaendelea kusema: “Tazama nimewapa mimea yote inayozaa mbegu iliyo juu ya uso wa dunia yote na kila mti ambao una matunda ya mti unaozaa mbegu.+ Na iwe chakula kwenu.+
32 ambayo, kwa kweli, ndiyo mbegu ndogo zaidi kuliko zote, lakini ikiisha kukua huwa ndiyo kubwa zaidi kati ya mboga zote nayo huwa mti, hivi kwamba ndege wa mbinguni+ huja na kupata makao katikati ya matawi yake.”+