28 wakaleta vitanda na beseni na vyombo vya mfinyanzi, na ngano na shayiri na unga+ na nafaka iliyochomwa+ na maharagwe mapana+ na dengu+ na nafaka iliyokauka;
9 “Na wewe, jichukulie ngano+ na shayiri na maharagwe mapana+ na dengu+ na mtama na kusemethi,+ nawe utavitia katika chombo kimoja na kuvifanya kuwa mkate kwa ajili yako, kwa hesabu ya siku unazolalia upande wako; siku 390 utaula.+