10 Na wana wa Israeli wakaendelea kupiga kambi katika Gilgali, nao wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ wakati wa jioni, katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko.
20 Na kwa vile makuhani na Walawi walikuwa wamejitakasa+ wakiwa kikundi kimoja, wote walikuwa safi, basi wakachinja mnyama wa pasaka+ kwa ajili ya waliokuwa wahamishwa hapo zamani na kwa ajili ya ndugu zao makuhani na kwa ajili yao wenyewe.