Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sasa wana wa Israeli watatayarisha dhabihu ya pasaka+ katika wakati wake uliowekwa.+

  • Yoshua 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wana wa Israeli wakaendelea kupiga kambi katika Gilgali, nao wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ wakati wa jioni, katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko.

  • 2 Wafalme 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi mfalme akawaamuru watu wote, akisema: “Fanyeni pasaka+ kwa Yehova, Mungu wenu, kulingana na yale yaliyoandikwa katika kitabu hiki cha agano.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 35:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mchinje mnyama wa pasaka+ na mjitakase+ na kufanya matayarisho kwa ajili ya ndugu zenu ili kufanya kulingana na neno la Yehova kupitia Musa.”+

  • Ezra 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na kwa vile makuhani na Walawi walikuwa wamejitakasa+ wakiwa kikundi kimoja, wote walikuwa safi, basi wakachinja mnyama wa pasaka+ kwa ajili ya waliokuwa wahamishwa hapo zamani na kwa ajili ya ndugu zao makuhani na kwa ajili yao wenyewe.

  • Luka 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Siku ya keki zisizo na chachu sasa ikafika, ambapo mnyama wa pasaka lazima atolewe dhabihu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki