21 Papo hapo Musa akawaita wanaume wote wazee wa Israeli+ na kuwaambia: “Toeni na kujichukulia kondoo na mbuzi kulingana na familia zenu, na kuchinja mnyama wa pasaka.+
15 Kisha wakachinja mnyama wa pasaka+ katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili; na makuhani na Walawi walikuwa wametiwa aibu, hivi kwamba wakajitakasa+ na kuleta matoleo ya kuteketezwa kwenye nyumba ya Yehova.