2 Mambo ya Nyakati 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na ikawa kwamba makuhani walipoondoka mahali patakatifu (kwa maana makuhani wote waliopatikana walikuwa wamejitakasa+—hapakuwa na uhitaji wa kufuata ile migawanyo);+ 2 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo wakawakusanya ndugu zao na kujitakasa+ na kuja kulingana na amri ya mfalme kwa maneno+ ya Yehova, ili kuitakasa+ nyumba ya Yehova.
11 Na ikawa kwamba makuhani walipoondoka mahali patakatifu (kwa maana makuhani wote waliopatikana walikuwa wamejitakasa+—hapakuwa na uhitaji wa kufuata ile migawanyo);+
15 Ndipo wakawakusanya ndugu zao na kujitakasa+ na kuja kulingana na amri ya mfalme kwa maneno+ ya Yehova, ili kuitakasa+ nyumba ya Yehova.