2 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha wakawakusanya pamoja ndugu zao na kujitakasa, nao wakaja kama mfalme alivyoamuru kulingana na maneno ya Yehova, ili kuitakasa nyumba ya Yehova.+
15 Kisha wakawakusanya pamoja ndugu zao na kujitakasa, nao wakaja kama mfalme alivyoamuru kulingana na maneno ya Yehova, ili kuitakasa nyumba ya Yehova.+