3 Sema na kusanyiko lote la Israeli, na kuwaambia, ‘Siku ya kumi ya mwezi huu watajichukulia kila mmoja kondoo+ kwa ajili ya nyumba ya mababu, kondoo mmoja kwa kila nyumba.
7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+