5 Naye akawaambia: “Nisikilizeni, enyi Walawi. Sasa jitakaseni+ na mwitakase nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zenu, na mwondoe kitu kichafu kutoka mahali patakatifu.+
20 Na kwa vile makuhani na Walawi walikuwa wamejitakasa+ wakiwa kikundi kimoja, wote walikuwa safi, basi wakachinja mnyama wa pasaka+ kwa ajili ya waliokuwa wahamishwa hapo zamani na kwa ajili ya ndugu zao makuhani na kwa ajili yao wenyewe.