3 Waambie, ‘Katika vizazi vyenu vyote mtu yeyote wa uzao wenu wote atakayekaribia vitu vitakatifu, ambavyo wana wa Israeli watamtakasia Yehova, wakati ambapo uchafu wake ungali juu yake,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka mbele zangu. Mimi ni Yehova.