Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wanapoingia kwenye hema la mkutano wataoga kwa maji wasije wakafa, au wanapoenda karibu na madhabahu kuhudumia ili kumfukizia Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto.+

  • Mambo ya Walawi 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi utamtakasa,+ kwa sababu yeye ni mtu anayeutoa mkate wa Mungu wako. Atakuwa mtakatifu kwako,+ kwa sababu mimi Yehova, ninayewatakasa ninyi, mimi ni mtakatifu.+

  • Mambo ya Walawi 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Waambie, ‘Katika vizazi vyenu vyote mtu yeyote wa uzao wenu wote atakayekaribia vitu vitakatifu, ambavyo wana wa Israeli watamtakasia Yehova, wakati ambapo uchafu wake ungali juu yake,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka mbele zangu. Mimi ni Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki