16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
32 Basi, waliposikia juu ya ufufuo wa wafu, wengine kati yao wakaanza kudhihaki,+ huku wengine wakisema: “Tutakusikiliza tena juu ya jambo hili wakati mwingine.”