Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Au je, Mungu alijaribu kuja kuchukua taifa kwa ajili yake mwenyewe kutoka kati ya taifa lingine kwa uthibitisho,+ kwa ishara+ na kwa miujiza+ na kwa vita+ na kwa mkono wenye nguvu+ na kwa mkono ulionyooshwa+ na kwa woga mkuu+ kama yote ambayo Yehova Mungu wenu amewafanyia ninyi katika Misri mbele ya macho yako?

  • Kumbukumbu la Torati 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 ule uthibitisho mkubwa ambao macho yako yaliona,+ na zile ishara na miujiza+ na ule mkono wenye nguvu+ na ule mkono ulionyooshwa+ ambao Yehova Mungu wako aliutumia kukutoa huko.+ Hivyo ndivyo Yehova Mungu wako atakavyowatendea watu wote unaoogopa mbele yao.+

  • Nehemia 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo wakakataa kusikiliza,+ wala hawakuyakumbuka+ matendo yako ya ajabu ambayo ulikuwa umewafanyia, bali wakafanya shingo zao kuwa ngumu+ na kujichagulia mkuu+ ili kurudi kwenye hali yao ya utumwa katika Misri. Lakini wewe ni Mungu wa matendo ya kusamehe,+ mwenye neema+ na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi+ wa fadhili zenye upendo, nawe hukuwaacha.+

  • Nehemia 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 wewe mwenyewe, katika rehema zako nyingi hukuwaacha+ nyikani. Nguzo ya wingu haikuondoka juu yao wakati wa mchana ili kuwaongoza njiani,+ wala nguzo ya moto haikuondoka juu yao usiku ili kuwaangazia njia wanayopaswa kuipitia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki