Mambo ya Walawi 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu na kufuata maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda. Ndipo mtakapokaa katika nchi hiyo kwa usalama.+ Kumbukumbu la Torati 4:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Huu ndio ushuhuda+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Musa aliwaambia wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri, Zaburi 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+
18 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu na kufuata maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda. Ndipo mtakapokaa katika nchi hiyo kwa usalama.+
45 Huu ndio ushuhuda+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Musa aliwaambia wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri,
9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+