Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Wewe nawe, nena na wana wa Israeli, na kusema, ‘Hasa sabato zangu, mtazishika,+ kwa maana ni ishara kati yangu na ninyi katika vizazi vyenu ili mpate kujua kwamba mimi Yehova ninawatakasa ninyi.+

  • Mambo ya Walawi 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi utamtakasa,+ kwa sababu yeye ni mtu anayeutoa mkate wa Mungu wako. Atakuwa mtakatifu kwako,+ kwa sababu mimi Yehova, ninayewatakasa ninyi, mimi ni mtakatifu.+

  • Ezekieli 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na mataifa watalazimika kujua kwamba mimi, Yehova,+ ninawatakasa Israeli wakati patakatifu pangu patakapokuwa katikati yao mpaka wakati usio na kipimo.” ’ ”+

  • 1 Wathesalonike 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+

  • 2 Wathesalonike 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, sisi tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu mnaopendwa na Yehova, kwa sababu Mungu aliwachagua+ ninyi tangu mwanzo kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ ninyi kwa roho+ na kwa imani yenu katika kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki