1 Wafalme 8:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 nawe uwasamehe+ watu wako ambao walikutendea dhambi+ na makosa+ yao yote ambayo walikukosea;+ nawe uwafanye waonyeshwe huruma+ na watekaji wao nao wawahurumie Zaburi 106:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye akawa akiwafanya wahurumiweMbele ya wale wote waliokuwa wamewashika mateka.+ Methali 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+
50 nawe uwasamehe+ watu wako ambao walikutendea dhambi+ na makosa+ yao yote ambayo walikukosea;+ nawe uwafanye waonyeshwe huruma+ na watekaji wao nao wawahurumie