Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 30:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana wakati mtakaporudi+ kwa Yehova, ndugu zenu na wana wenu wataonyeshwa rehema+ mbele ya wale wanaowashika mateka, na kuruhusiwa kurudi katika nchi hii;+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu, ni mwenye neema+ na rehema,+ wala hatageuza uso kutoka kwenu mkirudi kwake.”+

  • Ezra 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye amenipa fadhili zenye upendo+ mbele ya mfalme na washauri+ wake na kuhusu wakuu wote wa mfalme wenye nguvu. Mimi nami nikajitia nguvu kulingana na mkono+ wa Yehova Mungu wangu juu yangu, nami nikawakusanya wakuu kutoka katika Israeli ili waende pamoja nami.

  • Nehemia 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 pia barua kwa Asafu mtunzaji wa bustani ya mfalme, ili anipe miti ya kujenga kwa mbao malango ya Ngome+ ya nyumba,+ na kwa ajili ya ukuta+ wa jiji na kwa ajili ya nyumba ambayo nitaingia.” Basi mfalme akanipa barua hizo, kulingana na mkono mwema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu.+

  • Zaburi 106:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Naye akawa akiwafanya wahurumiwe

      Mbele ya wale wote waliokuwa wamewashika mateka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki