18 Basi, kulingana na mkono mwema+ wa Mungu wetu juu yetu, wakatuletea mwanamume mwenye busara+ kutoka kwa wana wa Mali+ mjukuu wa Lawi+ mwana wa Israeli, yaani, Sherebia+ na wanawe na ndugu zake, 18;
8 pia barua kwa Asafu mtunzaji wa bustani ya mfalme, ili anipe miti ya kujenga kwa mbao malango ya Ngome+ ya nyumba,+ na kwa ajili ya ukuta+ wa jiji na kwa ajili ya nyumba ambayo nitaingia.” Basi mfalme akanipa barua hizo, kulingana na mkono mwema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu.+