Methali 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtu atasifiwa kwa sababu ya kinywa chake cha busara,+ lakini aliyepotoka moyoni atadharauliwa.+ Yeremia 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitawapa wachungaji wenye kupatana na moyo wangu,+ na hakika wao watawalisha ninyi kwa ujuzi na ufahamu.+
15 Nami nitawapa wachungaji wenye kupatana na moyo wangu,+ na hakika wao watawalisha ninyi kwa ujuzi na ufahamu.+