Ezra 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kuwa mkono mwema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea mwanamume mwenye busara kutoka kwa wana wa Mali+ mjukuu wa Lawi mwana wa Israeli, aliyeitwa Sherebia,+ na wanawe na ndugu zake, wanaume 18;
18 Kwa kuwa mkono mwema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea mwanamume mwenye busara kutoka kwa wana wa Mali+ mjukuu wa Lawi mwana wa Israeli, aliyeitwa Sherebia,+ na wanawe na ndugu zake, wanaume 18;