14 Kwa kuwa agizo lilitolewa kutoka mbele ya mfalme na washauri wake saba+ ili kuchunguza+ kuhusu Yuda na Yerusalemu katika sheria+ ya Mungu wako+ iliyo mkononi mwako,
14 Na wale waliokuwa karibu zaidi naye ni Karshena, Shethari, Admatha, Tarshishi, Meresi, Marsena, na Memukani, wakuu saba+ wa Uajemi na Umedi, wanaoingia kwa mfalme,+ nao walikuwa wanaketi katika cheo cha kwanza katika ufalme):