18 Na itatukia kwamba atakapoketi kwenye kiti chake cha ufalme, atajiandikia katika kitabu nakala ya sheria hii kutoka katika ile iliyo mkononi mwa makuhani Walawi.+
8 Baadaye Hilkia+ kuhani mkuu akamwambia Shafani+ mwandishi:+ “Nimepata kile kitabu chenyewe cha sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kile kitabu, naye akaanza kukisoma.