Marko 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba wana wa binadamu watasamehewa mambo yote, hata ziwe ni dhambi gani na makufuru wanayofanya kwa kukufuru.+ Luka 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 [[Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe,+ kwa maana hawajui wanalofanya.”]] Zaidi ya hayo, ili kugawa mavazi yake, wakapiga kura.+
28 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba wana wa binadamu watasamehewa mambo yote, hata ziwe ni dhambi gani na makufuru wanayofanya kwa kukufuru.+
34 [[Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe,+ kwa maana hawajui wanalofanya.”]] Zaidi ya hayo, ili kugawa mavazi yake, wakapiga kura.+