Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wanagawana mavazi yangu,+

      Nao wanalipigia kura vazi langu.+

  • Isaya 53:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu katikati ya wengi,+ naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,+ kwa sababu aliimwaga nafsi yake mpaka kufa,+ naye alihesabiwa pamoja na wakosaji;+ naye mwenyewe aliichukua dhambi ya watu wengi,+ aliingilia kati kwa ajili ya wakosaji.+

  • Mathayo 27:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Walipokuwa wamemtundika mtini+ wakagawa mavazi yake ya nje+ kwa kupiga kura,+

  • Marko 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao wakamtundika mtini na kugawa mavazi yake ya nje+ kwa kupiga kura juu yake kuhusu nani achukue nini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki