Mathayo 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Kwa hiyo mimi ninawaambia ninyi, Watu watasamehewa kila namna ya dhambi na kufuru, lakini hawatasamehewa kufuru juu ya roho.+ Luka 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kila mtu anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa; lakini yule anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+
31 “Kwa hiyo mimi ninawaambia ninyi, Watu watasamehewa kila namna ya dhambi na kufuru, lakini hawatasamehewa kufuru juu ya roho.+
10 Na kila mtu anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa; lakini yule anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+