-
Luka 23:34Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
34 [[Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe, kwa maana hawajui wanalofanya.”]] Zaidi ya hilo, ili kugawa mavazi yake, wakapiga kura.
-