Zaburi 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wanagawana mavazi yangu,Nao wanalipigia kura vazi langu.+ Mathayo 27:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baada ya kumtundika kwenye mti, wakagawana mavazi yake ya nje kwa kupiga kura,+ Marko 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakamtundika kwenye mti na wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura ili kuamua ni nini ambacho kila mtu angechukua.+ Yohana 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi wakaambiana: “Tusilirarue, badala yake tupige kura ili tuamue litakuwa la nani.”+ Hilo lilitimiza andiko linalosema: “Waligawana mavazi yangu, na wakalipigia kura vazi langu.”+ Kwa kweli, hivyo ndivyo walivyofanya wale wanajeshi.
24 Nao wakamtundika kwenye mti na wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura ili kuamua ni nini ambacho kila mtu angechukua.+
24 Basi wakaambiana: “Tusilirarue, badala yake tupige kura ili tuamue litakuwa la nani.”+ Hilo lilitimiza andiko linalosema: “Waligawana mavazi yangu, na wakalipigia kura vazi langu.”+ Kwa kweli, hivyo ndivyo walivyofanya wale wanajeshi.