Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha ninyi mtasimama kutoka hapo mlipovizia, nanyi mtalikamata jiji; na Yehova Mungu wenu hakika atalitia jiji hilo mikononi mwenu.+

  • Waamuzi 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova akamwambia Gideoni: “Kwa watu hawa mia tatu walioramba nitawaokoa ninyi, nami nitatia Midiani mkononi mwako.+ Lakini hawa watu wengine wote na waende kila mmoja mahali pake.”

  • 1 Samweli 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+

  • 2 Samweli 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye Daudi akaanza kumuuliza+ Yehova, akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, kwa maana bila shaka nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+

  • 2 Wafalme 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na hili kwa kweli litakuwa jambo dogo machoni pa Yehova,+ naye kwa hakika atatia Moabu mkononi mwenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki