13 Elisha akamwambia mfalme wa Israeli: “Kwa nini umekuja kuniona?+ Nenda kwa manabii wa baba yako na kwa manabii wa mama yako.”+ Lakini mfalme wa Israeli akamwambia: “Sitaenda, kwa maana ni Yehova aliyetuita sisi wafalme watatu ili atutie mikononi mwa Moabu.”