Kumbukumbu la Torati 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+ Hosea 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Njooni, turudi kwa Yehova,+ kwa maana yeye mwenyewe amerarua vipande-vipande,+ lakini atatuponya.+ Alizidi kupiga, lakini atatufunga kitambaa.+
39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+
6 “Njooni, turudi kwa Yehova,+ kwa maana yeye mwenyewe amerarua vipande-vipande,+ lakini atatuponya.+ Alizidi kupiga, lakini atatufunga kitambaa.+