Mathayo 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mnajua kwamba siku mbili tangu sasa kutakuwa na pasaka,+ naye Mwana wa binadamu atatolewa ili atundikwe mtini.”+ Yohana 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Yesu akawaambia: “Wakati wangu unaofaa haujafika bado,+ lakini wakati wenu unaofaa upo sikuzote. Yohana 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini Yesu akawajibu, akisema: “Saa imekuja Mwana wa binadamu atukuzwe.+
2 “Mnajua kwamba siku mbili tangu sasa kutakuwa na pasaka,+ naye Mwana wa binadamu atatolewa ili atundikwe mtini.”+
6 Kwa hiyo Yesu akawaambia: “Wakati wangu unaofaa haujafika bado,+ lakini wakati wenu unaofaa upo sikuzote.