19 Na sasa tuma watu, unikusanyie Israeli wote katika Mlima Karmeli+ na pia wale manabii 450 wa Baali+ na wale manabii 400 wa ule mti mtakatifu,+ wanaokula mezani pa Yezebeli.”+
6 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii pamoja,+ karibu watu mia nne, akawaambia: “Je, niende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au nijiepushe?” Nao wakaanza kusema: “Panda uende,+ na Yehova atalitia jiji hilo mkononi mwa mfalme.”
22 Naye akasema, ‘Nitaenda, nami nitakuwa roho ya udanganyifu katika kinywa cha manabii+ wake wote.’ Kwa hiyo akasema, ‘Utamdanganya, na tena, utashinda.+ Nenda, ukafanye hivyo.’+