Zaburi 37:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hawataona aibu wakati wa msiba,+Na katika siku za njaa watashiba.+ Methali 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+ Luka 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akasema: “Mambo yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”+ 2 Wakorintho 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+
24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+
10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+