Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda katika nyika+ ya Tekoa.+ Na walipokuwa wakienda, Yehoshafati akasimama na kusema: “Nisikieni, enyi Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu!+ Iweni na imani+ katika Yehova Mungu wenu, ili mdumu muda mrefu. Iweni na imani katika manabii wake,+ hivyo mfanikiwe.”

  • Mathayo 10:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ naye anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mtu mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu.+

  • Luka 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa mfano, kwa kweli ninawaambia ninyi, Kulikuwa na wajane wengi katika Israeli siku za Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita, hivi kwamba njaa kubwa ikatokea katika nchi yote,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki