Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+ Methali 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo maghala yako yatakapojazwa kwa wingi;+ nayo mitungi yako ya shinikizo itafurika divai mpya.+ Wafilipi 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye Mungu wangu+ ataujaza kikamilifu uhitaji wenu wote+ kwa kadiri ya utajiri+ wake katika utukufu kwa njia ya Kristo Yesu.
10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+
10 Ndipo maghala yako yatakapojazwa kwa wingi;+ nayo mitungi yako ya shinikizo itafurika divai mpya.+
19 Naye Mungu wangu+ ataujaza kikamilifu uhitaji wenu wote+ kwa kadiri ya utajiri+ wake katika utukufu kwa njia ya Kristo Yesu.